Passwords do not match.
Magonjwa 10 tishio kwa mifugo Tanzania
Dar es Salaaam. Mdondo ambao hushambulia zaidi wanyama jamii ya ndege wakiwemo kuku ndiyo ugonjwa uliochangia vifo vingi vya mifugo kwa mwaka 2022/23.
Kwa mujibu wa Wizara ya Uvuvi na Mifugo, ugonjwa huo ulishambuliwa ndege 76,664 ambapo kati ya hayo 11,443 walifariki. Hiyo ni sawa na asilimia 49 ya vifo vyote vya mifugo vilivyotokea mwaka huu wa fedha.
Ugonjwa wa pili ambao ulisababisha vifo vingi vya mifugo ni ugonjwa wa miguu na midomo ambapo mifugo 5,269 ilifariki sawa asilimia 22.6.
Kufahamu magonjwa mengine yaliyoshambulia mifugo, tazama infografia hii
Mifugo ni fursa unaitumiaje?
Dar es Salaam. Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya mifugo ikiwemo ng’ombe na kuku ambayo ikitumiwa vizuri inaweza kuwa ni fursa ya kukuza kipato kwa wananchi.
Upotevu, uharibifu wa chakula ni janga la dunia
Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya maeneo kukabiliwa na njaa, siyo chakula chochote kinachozalishwa duniani humfikia mlaji. Vingine hupotea wakati wa mavuno au kuhifadhiwa.
Wamandavaku
Maandazi sio mchuzi