Nukta Fakti
Examining social media narratives and misinformation
All
Data
Debunking Stories
Education Stories
Infographics
Fact Check · February 20, 2024 4:44 am
Si kweli: Watu saba wapofuka macho kisa ‘Red Eyes’
Serikali yasema vyombo vya habari vimepotosha taarifa yake.
Yasema matumizi ya tiba isiyo sahihi ya ugonjwa huo ndio yanaweza kusababisha upofu.
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono mara kwa mara.