Nukta Fakti
Examining social media narratives and misinformation
Fact Check · April 12, 2023 2:35 pm
Zaidi ya watu 42,000 wameambukizwa ugonjwa huo tangu uingie mwaka 2020 huku 846 kati yao wakifariki dunia.
Fact Check · February 23, 2023 6:59 am
Ni kufuata tahadhari zote zinazoshauriwa na watalaam wa afya ikiwemo kupata chanjo na kunawa mikono kwa maji tiririka.
Fact Check · February 20, 2023 6:27 am
Wanaotengeneza habari za uzushi na kusambaza mtandaoni hutumia suala la afya kuwaletea watu madhara ikiwemo utapeli.
Fact Check · February 19, 2023 5:49 am
Baadhi ya watu wanapata matatizo ya afya ya muda mrefu baada ya kuugua na Uviko-19. Wakati mwingine ugonjwa huo husababisha mtu kujisikia mgonjwa kwa miezi mingi baada ya kuumwa mwanzoni.
Fact Check · February 16, 2023 8:27 am
Wahudumu wa afya wanne kati ya 10 katika nchi 23 za Afrika wamepata dozi kamili ya chanjo ya Uviko-19, jambo linalosaidia kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Fact Check · February 13, 2023 10:24 am
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema idadi kubwa ya wanaofariki kwa ugonjwa huo ni watu wenye umri kuanzia miaka 60.
Fact Check · January 28, 2023 7:31 am
Jumatatu ijayo Januari 30, 2023 itakuwa ni miaka mitatu tangu ugonjwa wa Uviko-19 utangazwe kuwa dharura ya afya ya umma duniani.
Fact Check · January 22, 2023 9:42 am
Asilimia 86 ya watu wenye sifa wamepata chanjo dhidi ya ugonjwa huo hadi kufikia Disemba 31, 2022.
Fact Check · January 19, 2023 7:16 am
Nchi ya Afrika Kusini imeshika nafasi ya kwanza ambapo mpaka sasa watu wake milioni 4.05 wameambukizwa ugonjwa huo.
Fact Check · January 18, 2023 7:17 am
Wakati ukifurahia kuanza mwaka ukiwa karibu na familia au watu uwapendao kuna mamilioni ya watu ambao wanalazimika kuyakimbia makazi yao kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo migogoro ya kisiasa.
Fact Check · January 10, 2023 6:09 am
Nchi hizo ni pamoja na Marekani, India, Ufaransa na Ujerumani.
Fact Check · December 28, 2022 6:47 am
Kama bado hujapata chanjo ya Uviko-19 mpaka sasa, basi msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka ni wakati sahihi kwa sababu itakulinda wewe mwenyewe na wale uwapendao.
Fact Check · December 19, 2022 8:30 am
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema watu 3,701 wamefariki dunia saa 24 zilizopita kwa ugonjwa wa Corona (Uviko-19).
Fact Check · December 13, 2022 12:06 pm
Habari hiyo haiwezi kuthibitishwa, haina vyanzo vya kuaminika na haipatikani katika vyombo vya habari vingine.
Fact Check · December 5, 2022 8:27 am
Shiriki la Afya Duniani (WHO) limesema watu 2,141 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Uviko-19 ndani ya saa 24 zilizopita.